Friday, May 4, 2012

AZAM YAPIGWA 2-1 NA MTIBWA - SIMBAAAAAA MABINGWA WAPYA WA VPL


Wekundu wa msimbazi Simba SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Vodacom 2011/2012,
Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa huo baada ya hii leo Mtibwa Sugar kuifunga Azam Fc mabao 2-1 kwenye mchezo ulioamuliwa kurudiwa hivi karibuni.
kufungwa huko kwa AZAM kunamaanisha hata wakishinda mchezo mmoja uliobakiwa hawataweza kuzifikia pointi 59 za SIMBA,kwasasa Azam wana pointi 53 ambazo zinawahahakishia kumaliza nafasi ya pili na kujipatia nafasi ya msimu ujao kushiriki kwenye kombe la shirikisho barani Afrika.

No comments:

Post a Comment