![]() |
| Wadau wakijipongeza baada ya ushindi wa MTAMA(ZITTO) katika uchaguzi wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uwalimu MUCE- IRINGA siku ya Jumatatu |
![]() |
| Wana MUCE walipokuwa wamejipanga kunda kufanya uchaguzi siku ya jumatatu wiki hii |
![]() |
| Harakati za uchaguzi zikiendelea chuoni hapo |
![]() |
| Baada ya uchaguzi wanafunzi wa MUCE wakisubiri matokeo kwa hamu kubwa |
![]() |
| Wadau wakisubiri matokeo baada yakutoka kuchagua kiongozi wa mtakae |
![]() |
| Wanadada nao hawa kuwa nyuma katika uchaguzi huu |
![]() |
| Wanafunzi wa MUCE wakifuatilia kwamakini matokeo ya uchaguzi yalipokuwa yanatangazwa na mwenyekiti mratibu wa uchaguzi DARUSO MUCE-IRINGA |
![]() |
| Shamra shamra za ushindi wa Mtama mara tu baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa urais DARUSO-MUCE |
![]() |
| Wadau walipo mbeba juu juu Mtama J. aka ZITTO mara baada ya kutangazwa mshindi wa urais MUCE |
![]() |
| Mtama na Makamu wake wa urais mara baada ya kutangazwa kuwa washindi wa uchaguzi uliofanyika jumatatu chuo kikuu MUCE-IRINGA |
![]() |
| Picha ya juu na chini ni sherehe za kuwapongeza wa shindi wa uchaguzi na viongozi wapya wa DARUSO-MUCE-IRINGA |












No comments:
Post a Comment