Sunday, May 27, 2012

TAASISI YA WANAFUNZI WANAOSOMA SHAHADA YA KWANZA YA SOSHOLOJIA YA CHUO KIKUU CHA DODOMA (UDOMSSO) YAPATA VIONGOZI WAPYA JANA MCHANA

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Kutoka Mwaka wa 1 alipokua akitoa maelekezo ya nini kifanyike kabla ya Zoezi la Kupiga kura na Kutangaza washindi
Mgombea wa Nafasi ya Mwenyekiti katika taasisi ya wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) Bw Edgar Kelvin ambaye anasomma mwaka wa 2 alipokua akinadi sera zake kabla zoezi la kupiga alijaanza
Mgombea wa pili wa nafasi ya Mwenyekiti katika taasisi ya Wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) Bi Loyce Haule ambaye anasoma mwaka wa 2 akinadi Sera zake
Mgombea wa Tatu wa Nafasi ya Mwenyekiti katika taasisi ya Wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) Bw Mwakindaga Emmanuel ambaye anasoma mwaka wa 2 akinadi sera zake
Mgombea Wa Nafasi ya Makamu Mwenyekiti katika taasisi ya Wanafunzi wanaosoma shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) Bw Mtono Juma ambaye amepita bila kupingwa kutoka na kuwa mgombea pekee wa nafasi hiyo na ni mwanafunzi kutoka mwaka wa kwanza
Mmoja wa Wanafunzi Kutoka Mwaka wa 3 Sophia Mkingiye akiuliza Maswala mara baada ya Wagombea kumaliza kunadi sera wakati walipokua wakiomba kura kwa wajumbe na wanachama
Mwanafunzi wa Mwaka wa 2 ambaye anasoma shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Bi Hadija Hassan alipokua akiuliza swali wakati kwa wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanafunzi wanaosoma shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma Wakati Wa Uchaguzi wa Kuwachagua Viongozi wapya wa Nafasi mbalimbali Katika Taasisi hiyo Mchana wa Leo
Baadhi ya wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma waliohudhuria katika uchaguzi wa kuchagua viongozi wa taasisi ya Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO) katika uchaguzi uliofanyika ndani ya Chuo Kikuu Cha Dodoma mchana wa leo
Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Bw Emmanuel Misungwi Alipokua akitoa Shukrani wa wanachama na wadau wa taasisi hiyo Kwa Kipindi Chote alichokua madarakani kwa mazuri na mabaya ambayo taasisi imepitia na kushukuru kwa wanachama kushiriki zoezi la kupiga kura na kupata viongozi wapya wa Taasisi ya Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMSSO)
Baadhi ya Viongozi wapya wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi waliomaliza muda wao leo mara baada ya zoezi la kupiga kura kumalizika na hatimaye kuwapata viongozi wa taasisi ya wanafunzi wanasoma shahada ya kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma mchana wa leo
Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanafunzi wanaosoma Shahada ya Kwanza ya Sosholojia ya Chuo Kikuu Cha Dodoma aliyemaliza muda wake leo Mh Emmanuel Misungwi (Katikati) Akiwa katika Picha ya Pamoja na Mwenyekiti mpya wa Taasisi hiyo Mh Edgar Kelvin (Wa kwanza kulia) na Aliyekuwa Mwenyekiti Wa UChaguzi Wa Kwanza Kushoto
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment