Thursday, October 25, 2012

FOR ALL GRADUATES,,,,, EMPLOYMENT PORTAL


Dear all Graduates,

Kindly go through this Link http://www.vijanatz.com/tz/jobs/ for various Job's in Tanzania according to u'r Career line,as posted on Newspapers and various other sources.

May God bless U all & give U u'r Dream Job

UDOM; Anouncement to All Graduands of 2012/2013 ,

Anouncement to All Graduands of 2012/2013
Wednesday, 24 October 2012 10:41
The Directorate of Graduate Studies of The University of Dodoma wishes to Announce to All Expected Graduands of 2011/2012 into Various Degree Programmes that they should visit Postgraduate Offices for Verification and Correctness of their Personal Particulars.
You therefore required to send your passport size (SoftCopy) for transcripts through the Following Gradates e-mail address director_gs@udom.ac.tz
All candidates should confirm their Graduation Attendance in the above mentioned email address "Write your name, course and tell us your confirmation"
Note:
There will be no correction after Producing Academic Certificates.

SALAAM for EID EL HAJJ,,,!!! AU MACCA, SAUD ARABIA


Le défi de Senad Hadzic: Il parcourt 6000 km à pied pour arriver à la Mecque






Ce musulman de Bosnie pas comme les autres a quitté son village natale Banovici en Bosnie-Herzégovine pour partir à pied jusqu’à la Mecque en Arabie Saoudite afin de faire le pèlerinage…

Le bosniaque, Senad Hadzic parcourait 6000 km, 20 à 30 km par jour, et passait ses nuits dans les mosquées ou invités par les gens puisqu’il ne possédait que 200 euros pour tout le voyage.

« Je suis arrivé samedi à la Mecque. Je ne suis pas fatigué. Ce sont les plus beaux jours de ma vie. Je suis en train de distribuer des chocolats à des enfants », a déclaré M. Hadzic, joint par l’AFP depuis Sarajevo sur un numéro de téléphone portable saoudien. » Je remercie notre Seigneur Allah de m’avoir permis d’arriver à La Mecque avant le délai (le hajj, le 25 octobre). J’ai marché au nom d’Allah, pour l’islam, pour la Bosnie-Herzégovine, pour mes parents et ma soeur » ajoute Senad Hadzic .

M. Senad a été motivé par son envie de faire le pèlerinage bien qu’il n’ait pas les moyens. Il a décidé donc, de faire le chemin à pied, traversant la Bosnie, la Serbie, la Bulgarie, la Turquie, la Syrie, la Jordanie, avant d’arriver enfin en Arabie saoudite, à la Mecque.

C’est le défi le plus spirituel du monde. Un exemple à imiter pour dire que je suis vraiment musulman et je suis prêt à sacrifier pour ma religion.

http://www.huspress.com/le-defi-de-senad-hadzic-il-parcourt-6000-km-a-pied-pour-arriver-a-la-mecque/
See Translation
Le défi de Senad Hadzic: Il parcourt 6000 km à pied pour arriver à la Mecque






Ce musulman de Bosnie pas comme les autres a quitté son village natale Banovici en Bosnie-Herzégovine pour partir à pied jusqu’à la Mecque en Arabie Saoudite afin de faire le pèlerinage…

Le bosniaque, Senad Hadzic  parcourait  6000 km,  20 à 30 km par jour, et passait ses nuits dans les mosquées ou invités par les gens puisqu’il ne possédait que 200 euros pour tout le voyage.

« Je suis arrivé samedi à la Mecque. Je ne suis pas fatigué. Ce sont les plus beaux jours de ma vie. Je suis en train de distribuer des chocolats à des enfants », a déclaré M. Hadzic, joint par l’AFP depuis Sarajevo sur un numéro de téléphone portable saoudien.  » Je remercie notre Seigneur Allah de m’avoir permis d’arriver à La Mecque avant le délai (le hajj, le 25 octobre). J’ai marché au nom d’Allah, pour l’islam, pour la Bosnie-Herzégovine, pour mes parents et ma soeur » ajoute Senad Hadzic .

M. Senad a été motivé par son envie de faire le pèlerinage bien qu’il n’ait pas les moyens. Il a décidé donc, de faire le chemin à pied, traversant la Bosnie, la Serbie, la Bulgarie, la Turquie, la Syrie, la Jordanie, avant d’arriver enfin en Arabie saoudite, à la Mecque.

C’est le défi le plus spirituel du monde. Un exemple à imiter pour dire que je suis vraiment musulman et je suis prêt à sacrifier pour ma religion.

http://www.huspress.com/le-defi-de-senad-hadzic-il-parcourt-6000-km-a-pied-pour-arriver-a-la-mecque/

Wednesday, October 24, 2012

LOAN BOARD; SERIKALI YA TANGAZA KUIVUNJA BODI YA MIKOPO


HAYA SASA, KALE KAMJENGO NDIO IMEFIKIA HIVI

Serikali kuivunja Bodi ya Mikopo
NA RICHARD MAKORE
24th October 2012

Serikali imesema inafikiria kuifumua na kuivunja Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kwa kuwa imeshindwa kukidhi matarajio ya serikali pamoja na Watanzania wengi kama ilivyotarajiwa wakati inaanzishwa.

Bodi hiyo licha ya kupewa zaidi ya Sh. trilioni moja tangu ilipoanzishwa mwaka 2005 hadi sasa, lakini imeshindwa kuweka mkazo ili kuhakikisha inawabana watu wote waliopata mikopo walipe madeni yao ili fedha hizo zitumike kuwakopesha wanafunzi wengine wanaozihitaji.

Aidha, kwa kipindi kirefu utendaji wa bodi hiyo umekuwa hauendi sawa sawa na kumekuwa na malalamiko mengi katika utoaji wa mikopo katika vyuo vikuu.

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Selestine Gesimba, alitoa kauli hiyo jana jijini Dar es Salaam mbele ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

“Kwa sasa idadi ya wanafunzi wanaopata mikopo hapa nchini kwa ajili ya elimu ya juu ni 300,000, lakini hali ipo hivi sasa huko tuendako idadi hiyo ikifikia 500,000 na kuendelea itakuwaje?” Alihoji Gesimba.

Aliambia kamati hiyo kuwa mpaka sasa HESLB imekusanya Sh. bilioni 20 kati ya Sh. bilioni 39 ambazo zinatakiwa kukusanywa na kwamba hayo ni mapungufu makubwa ya kiutendaji.

Gesimba alisema kwa sasa kuna vyuo 50 vya elimu ya juu ambavyo vinahudumiwa na HESLB na kwamba kila mwaka mahitaji yanazidi kuongezeka.

Hata hivyo, Gesimba alisema bajeti ya elimu ya juu inazidi kupungua ingawa idadi ya wahitaji inaongezeka kila mwaka na kwamba hiyo ni moja ya changamoto zinazoikali wizara yake.

Alisema serikali imempa kazi mshauri mwelekezi kwa ajili ya kufanya utafiti kuhusu matatizo katika utoaji wa mikopo na changamoto zake ili aweze kuishauri wizara.

Aliongeza kuwa mtalaamu aliyepewa kazi hiyo tayari amemkabidhi rasimu Waziri wa Wizara hiyo, Dk. Shukuru Kawambwa, na kwamba mpango mzima ukikamilika serikali itapata njia sahihi ya utoaji wa elimu ya juu nchini.

“Huyu mtalaamu atatuambia namna ya kupata vyanzo vya mapato vitakavyosaidia wanafunzi kusoma, namna ya kukusanya mikopo kutoka kwa wanafunzi walimaliza vyuo ambapo walipa mikopo pamoja na utendaji mzima, lakini hayo yakifanyika bodi hii haiwezi kuendelea kuwepo tena,” alisema.

Akizungumzia sekta ya elimu kwa ujumla, Gesima alisema serikali inatarajia kuongeza ada kwa wanafunzi wanaosoma ualimu ngazi ya cheti kutoka Sh. 150,000 hadi Sh. 200,000 kwa mwaka pamoja na kuanza kutoza ada kwa ajili ya usajili wa shule binafsi za msingi na sekondari.

Alisema kwa sasa hakuna gharama yoyote inayotozwa mtu ama taasisi binafsi inapotaka kusajili shule ya msingi pamoja na sekondari na kuongeza kuwa ada ya ukaguzi kwa shule hizo nayo inatarajia kupanda kutoka Sh. 500 kwa mwanafunzi mmoja hadi Sh. 1,000 kwa mwanafunzi.

Kuhusu ubora wa ufaulu, Gesima aliesema hakuna uhusiano wa moja kwa moja na shule husika kufanyiwa ukaguzi mara kwa mara na kwamba takwimu zianonyesha shule zilizoshika nafasi 10 za mwisho ndizo zilizokaguliwa mara nyingi na kwamba zilizoshika nafasi 10 za kwanza zilikaguliwa mara chache.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa PAC, John Cheyo, alisema wizara hiyo imepata hati chafu ya hesabu zake na kwamba kuna haja ya serikali kujipanga ili kurekebisha dosari hizo wakati mwingine.

Alisema ni jambo la kusikitisha mpaka sasa wizara haina mfumo wa kompyuta kutambua idadi ya walimu wake na madai mbalimbali wanayoidai (Database) na kwama hatua hiyo inachangia matatizo mbalimbali katika sekta ya elimu kuendelea kuwepo.

Akijibu hoja za wajumbe wa kamati hiyo, Gesimba alikiri kwamba Database ni muhimu na kwamba wizara itaanzisha utaratibu huo.

POAC YAIJUA JUU MUHIMBILI

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC) imeijia juu Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa kushindwa kutunza mali zake pamoja na utunzaji mbovu wa taarifa za wagonjwa hususani mafaili na majibu ya vipimo.

Kufuatia utendaji huo, Kamati hiyo chini ya Mwenyekiti wake, Zitto Kabwe, imeagiza hospitali hiyo kufunga ofisi za Benki ya NMB zilizopo eneo la Muhimbili kwenye kiwanja cha hospitali kwa kuwa kodi ya pango haiingii Muhimbili.

Wabunge wa kamati hiyo walifikia uamuzi huo kwa kueleza kwamba mwaka 2007/2008, POAC iliiagiza Muhimbili kurejesha eneo hilo mikononi mwake badala ya kuendelea kushikiliwa na mbia ambaye ni Regent Store.

Inadaiwa kwamba mwaka 1987 Muhimbili na Regent Store, waliingia mkataba wa ukodishaji wa eneo hilo ambao ulipaswa kumalizika baada ya miaka mitano tangu kusainiwa yaani mwaka 1992.

Badala yake, Regent Store ilidai kwamba mkataba wao wa miaka mitano ulitakiwa kuhesabiwa kuanzia mwaka 1992 ambao hata hivyo, ungeisha mwaka 1997 lakini haujasitishwa hadi sasa.

Kutokana na mkanganyiko huo, Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola, alieleza kushangazwa na ukimya wa Muhimbili hata baada ya kutoa muda mrefu kwa mkodishaji kinyume cha mkataba.

Alisema baada ya mwaka 1997, Muhimbili walipaswa kumnyang’anya eneo, lakini cha kushangaza walikaa kimya hadi mwaka 2005 ambapo Regent Store ilikimbilia mahakamani kutaka ufafanuzi wa mkataba.

Hata hivyo, Mwanasheria wa Muhimbili, Veronica Hellar, alisema kesi iliyopo mahakamani haihusiani na uhalali wa umiliki bali ufafanuzi wa mkataba na kwamba inaendelea vizuri.

Alisema kesi hiyo namba 53/2005 imepangwa kusikilizwa kwa siku tatu mfululizo kuanzia Desemba 3, mwaka huu na hukumu itatolewa.

Hata hivyo, Lugola alisema kesi hiyo haihusiani na agizo la kamati ambalo linaitaka Muhimbili kufunga ofisi za NMB kwa kuwa benki hiyo imekodishiwa pango kinyemela na inahesabika kama mvamizi.

Kwa upande wake, Zitto alisema kukodishwa kwa jengo hilo huku Muhimbili ikikosa kodi ni kuikosesha hospitali dola za Marekani 7,200 kwa mwezi kiasi ambacho kilithibitishwa pia na Mkurugenzi wa Fedha wa Muhimbili, Agnes Kuhenga.

Baada ya maelezo ya wabunge, Zitto aliitaka Muhimbili kufunga ofisi za NMB leo na kama haitafanya hivyo kamati yake itaenda kufunga ofisi hizo.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Bodi ya Muhimbili, Profesa Joseph Kuzilwa, aliiomba kamati kuahirisha agizo lake hadi Desemba 5, hukumu itakapotolewa, lakini POAC ilikataa.

Profesa Kuzilwa na Mkurugenzi Mkuu wa Muhimbili, Dk. Marina Njelekela, walikubali kupokea agizo hilo na kuahidi kulifanyiakazi.

Awali, POAC ilibaini kuwepo kwa utunzaji mbovu wa kumbukumbu za taarifa za wagonjwa hususani mafaili na kuchelewa kupatikana kwa majibu ya vipimo.

Lugola alisema inashangaza kwamba kuna wagonjwa wanasubiri faili lao kwa miezi sita na hata majibu inakuwa hivyo hivyo.

Alisema jambo hilo ni hatari kwa kuwa wapo wanaopoteza maisha kwa sababu tu faili halionekani au majibu yanachelewa huku akionya kuwa inawezekana kuna mgomo baridi usiokwisha kwenye hospitali hiyo.

Akijibu, Dk. Njelekela alithibitisha kuwepo kwa tatizo la upotevu wa mafaili ya wagonjwa na kwamba wameanza kulifanyiakazi kwa kuingiza taarifa za wagonjwa kwenye mfumo wa kompyuta ambao unahitaji Sh. milioni 790.

Hata hivyo, alisema hospitali inakabiliwa na tatizo kubwa la fedha na hivyo kwa sasa wanatafuta ufadhili wa wadau mbalimbali ili kutekeleza azma hiyo.

Kutokana na maelezo hayo, Zitto alisema: “Mafanya nini Muhimbili maana hata kazi ya kutunza kumbukumbu za wagonjwa hamuwezi, hivi hili nalo mnasubiri wafadhili wafanye? Kwa nini zisitoke kwenye fedha zenu za ndani?”

Sunday, October 21, 2012

ALGERIA ; RIPOTI YA POSHO KWA WANAFUNZI,, UONGOZI WASISITIZA UKATA UMEISHA KWA BAADHI YA WATU !!!

BAADA YA UKATA WA MUDA MREFU WANAFUNZI WAKITANZANIA WALIOPO INCHINI ALGERIA WALIANZA KUONE KANA KATIKA MAJEONGO YA OFISI ZA BENK YA BEA LEO ASUBUHI NA MAPEMA WAKIULIZIA KAMA POSHO YAO IMESHA FIKA BENK HAPO,

BEA MAKAO MAKUU WAMESEMA PESA JARIBUNI KUPITA MCHANA, " L'apres mid inchalla"!!!

MNAMO TAREHE 17 OCT 2012 WANAFUNZI HAWA WALITUMIWA EMAIL NA BANK M KUTAARIFIWA KUWA POSHO YAO IMESHA TUMWA NA WANAWEZA PITA BEA SIKU YEYOTE KUCHUKUA, PIA TAARIFA HIZO ZILIAMBATANA NA EMAIL KUTOKA KWA SERIKALI YA WANAFUNZI WA KITANZANIA NCHIN ALGERIA (ATSA) KUWATAKA WANAFUNZI HAO KUPITA BANK BAADA YA WIKI MOJA KUHAKIKI KAMA PESA ZAO ZIMEINGIA

AIDHA UONGOZI WA WANAFUNZI ULIWATAARIFU PIA POSHO HIYO IMETUMWA KWA YALE MAJINA 189 YALIOTOLEWA KWA ROUND YA KWANZA NA MAJINA MENGINE YAKO MBIONI KUTUMWA WIKI HII

PIA UONGOZI WAWANAFUNZI ULISISITIZA KUPELEKWA KWA MALALAMIKO MAPEMA BAADA YA KUGUNDUA UNATATIZO JUU YA POSHO YAKO,,,,,

REPOTER WETU ALIPOKUWA AKIONGEA NA WANAFUNZI WA MIKOA MBALIMBALI NCHINI ALGERIA WALIKUWA NA HAYA YAKUSEMA,,,,,

MKOA WA ALGIER,,, "KWAKWELI TUNASHUKURU KWA SEREKALI KUTUKUMBUKA MUDA HUU MAANA HALI ILIKUWA MBAYA SANA,,,, TULIKUWA TUNA WAZA VIPI TUTAPOKEA WAGENI KATIKA SIKUKUU HII YA EID, NA KAMA INAVYO JULIKANA SISI NDIO TUPO MJINI,,,,,, ILA TUNAWASHUKURU SANA BODI KWAKUOKOA AIBU HIII,,,,, "

MKOA WA ORAN.; "AMA HAKIKA BWANA YU MWEMA,,,, NJAA ILIKUWA INATUMALIZA UKIZINGATIA NA HIZI APATIMENT TULIZO KODI SIJUI NEXT WIKI NINGE MWELEZA NN MWARABU,,,,,,!!!!"

MKOANI BEJAIA..; "KWAKWELI HALI HAIKUWA SHWARI BAADHI YETU TULIANZA KUUZA PAMBA KUJISITIRI NA MISOSI ILA SASA NDIO WATATUKOMA NITATOKELEZEA SUBIRI MAUZO FB,,,,,!!!"

HIVYO NDIVYO HALI ILIVYO KUWA KATIKA BAADHI YA MIKOA HUKO ALGERIA,,,, BAADA YA KUKUMBWA NA ADHA YA UKATA WA KIPINDI CHA MIEZI MIWILI NA NUSU,,,,!!!
TUTAWALETEA HABARI ZAIDI YA YALIO JIRI HUKO BANK BAADA YA MUDA MFUPI
THE REPORTER..... ALGERIE,,,,,

MISS EAST AFRICA 2012 TANZANIA YATANGAZA MREMBO WAKE


 
Mrembo atakaewakilisha Tanzania katika mashindano ya mwaka huu ya Miss East Africa ni JOCELYNE DIANA MARO (22)

 Mrembo huyo alipatikana kufuatia mchakato ulioendeshwa na kamati maalum ya kuratibu zoezi hilo kwa zaidi ya miezi mitatu iliyopita na kuwashinda warembo wengine 148  waliojitokeza kutaka kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss East Africa 2012
 Jocelyne amehitimu shahada ya Business Economics mwezi wa saba mwaka huu katika chuo kikuu cha Keele University, Nchini Uingereza

 Maandalizi ya mashindano hayo yanaendelea vizuri na yapo kwenye hatua za mwisho ikiwa ni pamoja na kukamilisha taratibu zote za BASATA ili kufanikisha mashindano hayo yatakayofanyika tarehe 07 December, 2012 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam

 Mashindano ya Miss East Africa mwaka huu tayari yameanza kuvuta hisia za watu wengi barani Africa kufuatia kiwango cha juu cha warembo wanaowania taji hilo.

 Nchi zilizothibitisha kushiriki mashindano hayo ni wenyeji Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Nchi zingine zilizoalikwa kushiriki ni pamoja na Ethiopia, Eritrea, Somalia, Djibouti, Southern Sudan, Malawi, pamoja na visiwa vya Seychelles, Madagascar, Reunion, Comoros, na Mauritius.

 Mashindano ya Miss East Africa yanalenga kukuza ushirikiano na kutangaza utamaduni wa Afrika Mashariki, pamoja na kutangaza utalii wa Tanzania kama Nchi wenyeji wa mashindano hayo makubwa katika ukanda huu wa Afrika

 Mashindano ya Miss East Africa yanamilikiwa na kuandaliwa na kampuni ya Rena Events Ltd ya jijini Dar es salaam,.

HARAKATI ZA WANAFUNZI WA UDOM WALIPOKUWA WANAREJESHA VITAMBULISHO VYA CHUO


 Wanafunzi wa Mwaka wa tatu wa fani mbalimbali wakiwa katika foleni ya kurudisha vitambulisho vya chuo mara baada ya Kumaliza miaka 3 ya masomo yao ya shahada ya kwanza
 Mwanafunzi wa UDOM akiwa tayari kurudi nyumbani kwao mara baada ya kumaliza mitihani yake
 Kama kawaida Ifikapo kipindi hiki cha kumaliza muhula usafiri unasumbua na teksi ndio muda wao na hapa zikiwa zimehamia chuoni kabisa na kusubiri wateja
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) wakisubiri daladala ili kuelekea mjini jioni ya leo.Katika Kipindi hiki Cha Wanafunzi kumaliza muhula na kufunga chuo na wengine kumaliza kabisa usafiri huwa ni wa taabu sana na ndio msemo wa kufa kufaana unapotimia mara baada ya teksi kuchukua nafasi katika kipindi hiki cha kufunga chuo

WANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA(AJTC) WALIVYOTEMBELEA CHUO CHA WALEMAVU USA-RIVER ARUSHA


Mkurugenzi wa Wazalendo 25 Blog na Mwanachuo wa (AJTC,mwenye balck t-shirt) akipiga picha ya pamoja na baadhi ya wanachuo wawili wa chuo cha walemavu Usar-River Arusha pamoja na wanachuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC).

Madam Neema Ezekiel akipiga picha na wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha
Kiongozi mkuu wa wana-AJTC akipiga picha na wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha
Presenter wa matukio yote, wa AJTC akipata machache toka kwa wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha. KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

Friday, October 19, 2012

2012/2013 - First Batch of Bachelor Degree in Statistics


Since it's establishment in 1965, the Eastern Africa Statistical Training Centre has been confering Foundation, Certificate and Diploma qualifications in Statistical Studies. Now for the first time in 47 years, the Centre has introduced a Bachelor's Degree in Statistical Studies with the 2012/2013 intake. The registration of now almost 50 students commensed on the 1st of October 2012.

The general objective of the programme leading to Bachelor in Statistics (B.Stat) degree is to equip graduates with knowledge and skills that will enable them to handle socio-economic statistics,

to conduct statistical enquiries by designing, planning and executing sample surveys and censuses. It intends to produce practically oriented statisticians. Graduates should also be able to work with specialists in other fields.