Wednesday, May 16, 2012

TAMASHA LA INTER-SCHOOL CONCERT




Pichani Juu na Chini ni wanafunzi wa mashule mbalimbali wakionyesha ufundi kuwa ku-dance wakati wa tamasha lililopewa jina la ‘Inter-School Concert’.

“Akudundu-kudundu-kudundu- Alajhi-Alajhi”.

“Yeyoooooo” baadhi ya wanafunzi waliohudhuria tamasha hilo wakikubali kilichokuwa kikifanyika jukwaani.

Mshereheshaji wa tamasha hilo ‘MC T-Bway 360 akimtambulisha Mhariri wa mtandao unaoaminika wa habari hapa nchini MO BLOG kwa ajili ya kukabidhi zawadi za T-Shirt zenye chata ya mtandao huo ambao ulikuwa ni moja ya wadau waliosaidia kufanikisha tamasha hilo.

Mhariri wa MO BLOG akitoa changamoto kwa wanafunzi walioshiriki tamasha la ‘Inter-School Concert lililofanyika katika ukumbi wa Shule ya Kimataifa ya ESACS.

Wanafunzi walioshinda katika ku-shake-shake kwenye tamasha hilo waki-shine na T-Shirt za MO BLOG.

Wanafunzi wataalam wa kurap(kulia na kushoto) wakioneshana makali huku mshereheshaji wa tamasha hilo la ‘TOK-ELEZEIYER akiwa haamini vipaji walivyonavyo.
 Moja ya uchezaji wa muziki inayojulikana kama ‘Dogue Style’.

Mmoja wa wanafunzi hao akionyesha staili ya ‘I belive I can fly’.

‘Wacko Jacko is Still Alive’.

‘Duh…pamoja na masomo hizi pia twazijua’
Wanafunzi wakipagawa wakati wa tamasha hilo lililoandaliwa kiutaam na kufanikisha malengo yake kuwakutanisha wanafunzi wa shule mbali mbali jijini.

Wasanii wa Bongo Flava Country Boy (kulia) na Stamina wakitoa Burudani kwa wanafunzi.


“Ama kweli tamasha hili limetunufaisha” ndivyo wanavyoonekana kusema wa-denti waliohudhuria.

No comments:

Post a Comment