Tuesday, June 5, 2012

WANAFUNZI WAKITANZANIA NCHINI URUSI KATKA MAZOEZI

Ankal, hata sisi huku Nizhyn Novgorod, nchini  Urusi tunamuunga mkona braz Jakaya K. kwa kufanya mazoezi
Timu ya mpira wa miguu ya wanafunzi wakitanzania wasomao nchini Urusi
Kabla ya kuanza mechi ya urafiki na kama mojawapo ya mazoezi na timu ya wanafunzi kirusi, matokeo ya mechi hii yalikuwa ni 0-0.

No comments:

Post a Comment