![]() |
| Wanahabari wakihangaika kupata picha ya Dk. Steven Ulimboka alieinginzwa kwenye gari hiyo tayari kwa kupelekwa kwenye Taasisi ya Mifupa (MOI) kwa matibabu zaidi. |
![]() |
| Madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakilisukuma gari lililokuwa limempakia Dk. Steven Ulimboka. |
![]() |
| Madaktari na Wauguzi wa Muhimbili wakiwa wamesimama huku wakizungumzia hali iliyompata mwenzao. |
![]() |
| Mwanahabari akiwa katika harakat za kupata picha makin na mahiri |
![]() |
| Hakuna kazi iliyokuwa ikifanyika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wakati Dk. Ulimboka alipofikishwa hospitalini hapo.Picha Zote Kwa Hisani ya Michuzi Blog |








No comments:
Post a Comment