Saturday, June 30, 2012

SHEREHE ZA MAHAFALI YA WAHITIMU WA SHAHADA YA KWANZA LUMUMBA UNIVERSITY, RUSIA

 Katika chuo kikuu cha ushirikiano wa kimataifa kilichopo nchini Rusia, LUMUMBA PEOPLE FRIENDSHIP UNIVERSITY, Rusia Wanafunzi wakitanzania wasomao nchini Russia waungana na wenzao wanaotoka nchi mbalimbali duniani katika mahafali ya wahitimu wa shahada ya kwanza waliokuwa wakisoma chuo kikuu cha Lumumba nchini Russia,

Katika mahafali hayo yalio jumuisha wanafunzi wakitanzania waliohitimu shahada tofauti tofauti zikiwemo shahada ya computer, technologia ya usafirishaji na udaktari, Wadau hawa wakiwa wenye furahaa walisema
"Tunamshukuru mungu kwa kumaliza safari hii, na tunaishukuru sana Rusia kwa kutulea na kutupa msaada kufanikisha malengo yetu yakupata elimu na ujuzi tulio hitaji, na tunaahidi kurejea nyumbani na kutumia ujuzi na elimu hii tulioipata huku kwa manufaa ya taifa letu na watanzania wote,
Tungependa kuwasisitiza wanafunzi wote waliopo nchini Tanzania wajitahidi kujakusoma nje ya nchi kwani kuna nafasi nyingi za kusoma utakacho na kufanya vizuri, Maisha ya ughaibuni yana wezekana "
Habari picha, Na repoter wetu kutoka Urusi,,,!!
Wanafunzi wakiafrica waliohitimu shahada ya kwanza katika chou kikuu Lumumba, Rusia

Ukimaliza chuo unasikia raha yaaa jabuu,,,, hapa niwalio hitimu wakionyesha furaha zao

vijana walio hitimu wakichuo picha ya pamoja na wanafunzi wengine

wadau in da poz,,,,,



Mdau aliyehitimu shahada ya kwanza

No comments:

Post a Comment