Monday, June 4, 2012

VYUO VIKUU VILIVYOPO MJINI VINAONGOZA KWA NGONO ZEMBE,,,? GIVE OUT YOUR COMMENT

Avatar of goodgirl
goodgirl
KULINGANA NA UTAFITI ULIOFANYIKA IMEONEKANA KUWA VYUO VILIVYOPO MAENEO YA MIJINI HASA MIJI MIKUBWA KAMA DAR ES SALAAM, MWANZA NA ARUSHA NDIVYO VINAVYOONGOZA TABIA ZA UMALAYA HAPA NCHINI, JE HILI LINA UKWELI KIASI GANI?

Avatar of jackson
jackson
Mi naona tatizo kubwa hapa ni moja, maisha ya mjini ni magumu kwanza swala la accomodation kwa vyuo vya mjini ni tatizo kubwa ukajaribu kucheki kam IFM, CBE hata maeneo ya udsm still ni tatizo bei za vyumba zimepanda sanan halafu ukicheki boom la wanafunzi ni kidogo sana compare na jinsi gharama nyingine ziko juu, angalia kwa mfano IAA pale yani bei ya kupanga semester utafikiri unataka kununua hostel yenyewe, at least some of the boys wanaweza kujikaza lakini lady’s they need more comfortable environments.

Avatar of komba
komba
Hamna lolote, hawa watoto wa kike wanajiendekeza tu, haiwezi kufikia kiasi cha kufanya umalaya hata kidogo

Avatar of mdadawaukweli
mdadawaukweli
Jamani serikali nayo ikishirikiana na viongozi wa vyuo wapunguze siasa, wajaribu kuwaangalia hawa wanafunzi wanaishi vp, tatizo ni kutojali na kwa sababu si wao au watoto wao basi watajijua watakavyoishi wenyewe, inauma sana

Avatar of rehema r-girl
rachel
That is not true kabisa.Jamani tabia ya mtu haijashi yuko wapi, kama m2 ni mstaarabu atabakia
na ustaarabu wake lakin kama ni waku…. hata angekaa bush ndan lazima atafanya
upuuz wake.

Avatar of zulfa hamis
zulfa
So embarassing topic but also interesting!

Avatar of jane mwalutolo
jane
Not really!

Avatar of Alice Mishika
Mzalendo
Jamani nani amepost hii?

Avatar of paul munuo
paul
Hii mbona ipo sana, sasa kama hapa St. Augustine bila milioni 1 hujapata accomodation ya mwaka na ni lazima ulipe kwa mwaka mzima we unafikiri itakuwaje, demu anapenda kuwa sister du hapo hapo alipe accomodation ada na amaintain usisterdu wake so lazima mambo kama haya yapo sana tu

Avatar of jane mwalutolo
jane
y?

Avatar of victor
victor
jaman hayo mabo yanatokana na kfwta mkumbo kwa dada zetu wengi na hvy kpelekea kujiiingiza kwa umalaya kama ifm,cbe na udsm hapana kwa kwel dohhhhhhhhhhhhhh

Avatar of jane mwalutolo
jane
du! @victor

Avatar of zulfa hamis
zulfa
y

Avatar of Babuu Kiwonyi
Babuu Kiwonyi
nadhani kuna mambo ya msingi makubwa ya kuyajua kabla ya kutoa kauli kwa kuchangia hoja, ukweli kuna mambo hayajazingatiwa kama ifuatavyo:-
1. umalaya uliopo vyuoni si kwa vyuo vya mjini peke yake bali ni kwa vyuo vyote. hivi vya mjini kwa kuwa kuna wanaovimulika ndo maana matukio yake yameonekana wazi. ila vya ndani ndo vina uchafu mkubwa sana.
2. mazingira ya makuzi ya kina dad kabla ya kwenda vyuoni ni suala la kutizamwa kwanza. wengi wao hufungwa, yaani hawajajengewa mazingira ya kujitegemea hivyo wanapoingia kwenye mazingira hayo huyavamia kwa pupa. wa disco ataenda jaribu, wa kunywa pombe nae atajaribu na wa umalaya nae atajaribu fani. mbaya kwa kuwa hajui hutumbukia huko sasa hapo ndo unaonekana zaidi kama mjuaji kumbe amepatwa.
3. mazingira ya ugumu na kutopenda kujishughulisha kwa baadhi ya vijana wa kitanzania, jambo hili husababisha vijana wengi kupenda mambo ya mteremko na yenye gharama kubwa. kwa kulingana na hali hiyo hujikuna mwanadada haoni shida kutoa mwoli wake kama sadaka kwa wanaume tofauti ili apate mahitaji yake.
4. soma la maadili kuanzia ngazi ya familia kwa wengi nalo ni kikwazo kikubwa sana cha kumfanya binti au kijana kujitambua.
5. hali ngumu na mazingit=ra mabovu ya vyuoni nayo ni changamoto

No comments:

Post a Comment