Friday, April 27, 2012

BURNING ISSUES EAST AFRIAN INTEGRATION

One of the Mps in East Africa Community Shy-Rose Bhanji from Tanzania, speak out and ask for comments from the society through social network and say's,,,,

Shy-Rose Bhanji 

BURNING ISSUES EAST AFRIAN INTEGRATION: The spirit of EAC Intergation allows free movement of skilled labour, and yet we have not fully utilised the policy. In contrast, we see our neighbours come in our country to utilise the opportunities. Why is it so? what is our shortcoming? What are other burning issues that the EALA Tanzanian MPs should tackle?

Katika sera ya Mtangamano wa Afrika Mashariki ajira za wageni zinaruhusiwa. Hata hivyo Watanzania bado hatujatumia fursa hii kikamilifu, wakati wenzetu wanafaidi na sera hii. Imekuaje? Kulikoni? Je unazo changamoto au kero zozote ambazo Wabunge wa Afrika Mashariki kutoka Tanzania wanaweza kushughulikia?

and the comments where like this,,,,!


  • Pantaleo Anselimu hilo ni moja wapo dada yaan Watanzania tumeminjwa sana

  • Shafii Zubery mimi nafikiri kero hasa ni kuona wenyeji watanzania wanaajiri watu wengine apart from WATANZANIA, wakiamini kuwa wao ndio wanaweza zaidi ya watanzania

  • Dickson Ng'hily Datz Y u've been elected to tackle such issues so as the Tanzanians should benefit from de policy...

  • Shafii Zubery katika CCM waliobakia wewe dadatu Shy-Rose Bhanji ndio umebakia lakini angalia ucje ukashawishika na ukapoteza muelekeooooo

  • Anna Nkinda inawezekana sheria ya nchi yetu inaruhusu wageni wengi kuajiriwa. mf. kenya mgeni atapata ajira pale ambapo mwenyeji hana sifa ya kufanya hiyo kazi

  • Clement Marandu There are more opportunities in Tanzania dada Shy-Rose Bhanji, land, natural resources, laws favouring imigrants/expatriates etc no wounder they are more Kenyans here

 

No comments:

Post a Comment