Wednesday, September 4, 2013

TCU YA TOA TENA NAFASI ZA MAOMBI VYUO VIKUU, MWISHO 07.09.2013

 
Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) inatoa nafasi nyingine kwa watu wenye sifa za kujiunga na vyuo vikuu  kutuma maombi  yao kwa msimu wa masomo wa 2013/2014. 

Mwisho wa kutuma maombi hayo ni tarehe 07.09.2013.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment